ENENDA NURUNI
bali tukienenda nuruni, kama yeye alivyo katika nuru, twashirikiana sisi kwa sisi, na damu yake Yesu, Mwana wake, yatusafisha dhambi yote.
1 Yohana 1:7
Enyi wa nyumba ya Israeli, njoni, twende katika nuru ya Bwana.
Isaya 2:5
Neno lako ni taa ya miguu yangu, Na mwanga wa njia yangu.
Kufafanusha maneno yako kwatia nuru, Na kumfahamisha mjinga.
Zaburi 119:105-130
Comments
Post a Comment