TAFAKARI: INGEWALAZIMU KUTOKA DUNIANI
Sisemi msichangamane kabisa na wazinzi wa dunia hii, au na wenye kutamani, au na wanyang'anyi, au na wenye kuabudu sanamu; maana hapo ingewalazimu kutoka katika dunia.
1 Wakorintho 5:10
Maneno hayo aliyasema Yesu; akainua macho yake kuelekea mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako naye akutukuze wewe;
Mimi siombi kwamba uwatoe katika ulimwengu; bali uwalinde na yule mwovu.
Wao si wa ulimwengu, kama mimi nisivyo wa ulimwengu.
Yohana 17:1,15-16
Comments
Post a Comment