JIFUNZE KUPOKEA KWA KUTOA
( NYWESHA, UNYWESHWE )
Kuna atawanyaye, lakini huongezewa zaidi; Kuna azuiaye isivyo haki, lakini huelekea uhitaji.
Nafsi ya mtu mkarimu itawandishwa; Anyweshaye atanyweshwa mwenyewe.
Awanyimaye watu nafaka, watu watamlaani; Auzaye nafaka, baraka itakuwa kichwani pake.
Atafutaye mema kwa bidii hutafuta fadhili; Atafutaye madhara, hayo yatamjia.
Azitegemeaye mali zake ataanguka; Mwenye haki atasitawi kama jani.
Mithali 11:24-28
Comments
Post a Comment