TAFAKARI: ALIKUJUA, ALIKUTAKASA
Neno la Bwana lilinijia, kusema,
Kabla sijakuumba katika tumbo nalikujua, na kabla hujatoka tumboni, nalikutakasa; nimekuweka kuwa nabii wa mataifa.
Neno la Bwana lilinijia, kusema,
Kabla sijakuumba katika tumbo nalikujua, na kabla hujatoka tumboni, nalikutakasa; nimekuweka kuwa nabii wa mataifa.
Lakini Bwana akaniambia, Usiseme, Mimi ni mtoto; maana utakwenda kwa
kila mtu nitakayekutuma kwake, nawe utasema kila neno nitakalokuamuru.
Usiogope kwa sababu ya hao maana mimi nipo pamoja nawe nikuokoe, asema Bwana.
Yeremia 1:,4,5,7,8
Usiogope kwa sababu ya hao maana mimi nipo pamoja nawe nikuokoe, asema Bwana.
Yeremia 1:,4,5,7,8
Comments
Post a Comment