JE, MTU HUKAMILIKA WA MAFUNDISHO NA KANUNI ZA KRISTO?
Kwa sababu hiyo, tukiacha kuyanena mafundisho ya kwanza ya Kristo, tukaze mwendo ili tuufikilie utimilifu; tusiweke msingi tena wa kuzitubia kazi zisizo na uhai, na wa kuwa na imani kwa Mungu,
Waebrania 6:1
Ahimidiwe na atukuzwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo na Baba yetu. Tumekwisha kupewa nuru na kukionja kipawa cha mbinguni na kufanywa washarika wa Roho Mtakatifu na kulionja neno zuri la Mungu na nguvu za zamani zijazo, tuchunge tusianguke, maana twamsulubisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zetu.
wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.
Waebrania 6:6
Kama watoto wachanga waliozaliwa sasa yatamanini maziwa ya akili yasiyoghoshiwa, ili kwa hayo mpate kuukulia wokovu;
ikiwa mmeonja ya kwamba Bwana ni mwenye fadhili.
1 Petro 2:2-3
Lakini, kueni katika neema, na katika kumjua Bwana wetu na Mwokozi Yesu Kristo. Utukufu una yeye sasa na hata milele.
2 Petro 3:18
Comments
Post a Comment