JE, ILIKUWA INJILI YA KRISTO ILIYOHUBIRIWA KWA IBRAHIMU, NA HABARI NJEMA IMEHUBIRIWA WAKATI WA AGANO LA KALE?
JE, ILIKUWA INJILI YA KRISTO ILIYOHUBIRIWA KWA IBRAHIMU, NA HABARI NJEMA IMEHUBIRIWA WAKATI WA AGANO LA KALE?
Ibrahimu, baba yenu, alishangilia kwa vile atakavyoiona siku yangu; naye akaiona, akafurahi.
Yohana 8:56
Maana ni kweli, sisi nasi tumehubiriwa habari njema vile vile kama hao. Lakini neno lile lililosikiwa halikuwafaa hao, kwa sababu halikuchanganyika na imani ndani yao waliosikia.
Waebrania 4:2
Ahimidiwe na atukuzwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo na Baba yetu.
Vile vile kama hao ni Waisraeli wakati wa safari yao kutoka Misri kuelekea nchi ya ahadi. Maandiko yanatuambia tumehubiriwa habari njema kama wao, hivyo tunaposikia habari njema tusifanye migumu mioyo yetu.
Basi, kwa kuwa neno hili limebaki kwamba wako watu watakaoingia humo, na wale waliohubiriwa habari ile zamani walikosa kuingia kwa sababu ya kuasi kwao,
Waebrania 4:6
Comments
Post a Comment