JE, MTUME PAULO ALIFUNDISHA NINI KUHUSU UMOJA?
Basi ndugu, nawasihi, kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo, kwamba nyote mnene mamoja; wala pasiwe kwenu faraka, bali mhitimu katika nia moja na shauri moja.
1 Wakorintho 1:10
Ahimidiwe na atukuzwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo na Baba yetu.
Anatufundisha kwamba ndugu katika Kristo Yesu tuenende kwa furaha, tukiwa na nia moja, mapenzi mamoja, wenye roho moja, tukinia mamoja.
Msitende neno lo lote kwa kushindana wala kwa majivuno; bali kwa unyenyekevu, kila mtu na amhesabu mwenziwe kuwa bora kuliko nafsi yake.
Wafilipi 2:3
Comments
Post a Comment