JE, NINI LILIKUWA JIWE KUU LA MSINGI WA IMANI YA MITUME NA MANABII?
Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii, naye Kristo Yesu mwenyewe ni jiwe kuu la pembeni.
Waefeso 2:20
Ahimidiwe na atukuzwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo na Baba yetu.
Yeye (Kristo Yesu) ndiye kichwa, ambacho kwa yeye mwili wote kwa viungo na mishipa umeunganishwa, na hukua kwa maongeo yatokayo kwa Mungu. Na katika yeye jeng lote limeunganishwa vyema na kukua hata liwe hekalu takatifu la Mungu.
kwa ajili ya hayo Bwana, MUNGU, asema hivi, Tazama, naweka jiwe katika Sayuni, liwe msingi, jiwe lililojaribiwa, jiwe la pembeni lenye thamani, msingi ulio imara; yeye aaminiye hatafanya haraka.
Isaya 28:16
Kwa maana kwa yeye sisi sote tumepata njia ya kumkaribia Baba katika Roho mmoja.
Waefeso 2:18
Comments
Post a Comment