KATIKA KUSHUGHULIKA NA MAKOSA, NI HISIA GANI ZINAPASWA KUTUCHOCHEA?
Ndipo bwana wake akamwita, akamwambia, Ewe mtumwa mwovu, nalikusamehe wewe deni ile yote, uliponisihi;
nawe, je! Haikukupasa kumrehemu mjoli wako, kama mimi nilivyokurehemu wewe?
Mathayo 18:32-33
Ahimidiwe na atukuzwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo na Baba yetu.
Tusipowasamehe watu makosa yao, wala Baba yetu hatatusamehe sisi makosa yetu.
Bwana wake akaghadhibika, akampeleka kwa watesaji, hata atakapoilipa deni ile yote.
Ndivyo na Baba yangu wa mbinguni atakavyowatenda ninyi, msiposamehe kwa mioyo yenu kila mtu ndugu yake.
Mathayo 18:34-35
Jilindeni; kama ndugu yako akikosa, mwonye; akitubu msamehe.
Na kama akikukosa mara saba katika siku moja, na kurudi kwako mara saba, akisema, Nimetubu, msamehe.
Luka 17:3-4
Comments
Post a Comment