KWA NINI MUSA ALIACHA UTAJIRI WA MISRI?
akihesabu ya kuwa kushutumiwa kwake Kristo ni utajiri mkuu kuliko hazina za Misri; kwa kuwa aliyatazamia hayo malipo.
Waebrania 11:26
Ahimidiwe na atukuzwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo na Baba yetu.
Kwa imani Musa alipokuwa mtu mzima alikataa kuitwa mwana wa binti Farao akaona ni afadhali kupata mateso na watu wa Mungu kuliko kujifurahisha katika dhambi kwa muda.
Ee Bwana, ukumbuke, Wanavyosimangwa watumishi wako; Jinsi ninavyostahimili kifuani mwangu Masimango ya watu wengi.
Zaburi 89:50
Comments
Post a Comment