JE, NI VIPI MUNGU AMELIKUZA NENO LAKE?
Nitasujudu nikilikabili hekalu lako takatifu, Nitalishukuru jina lako, Kwa ajili ya fadhili zako na uaminifu wako, Kwa maana umeikuza ahadi yako, Kuliko jina lako lote.
Zaburi 138:2
Ahimidiwe na atukuzwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo na Baba yetu.
Tunapaswa, basi, kulipitia Neno la Mungu kwa heshima kubwa, na kuchunguza kurasa zake kila siku, ili tuweze kujifunza zaidi juu ya Mungu. Tulisikie neno lake na kulitia moyoni.
Bwana akapendezwa, kwa ajili ya haki yake, kuitukuza sheria, na kuiadhimisha.
Isaya 42:21
Basi, kila mtu atakayenikiri mbele ya watu, nami nitamkiri mbele za Baba yangu aliye mbinguni.
Mathayo 10:32
Comments
Post a Comment