JE, UNABII WA AGANO LA KALE TUMEPEWAJE?
Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.
2 Petro 1:21
Ahimidiwe na atukuzwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo na Baba yetu.
Unabii uliletwa kwa wanadamu kunena walivyoongozwa na Roho Mtakatifu. Hakuna unabii katika maandiko upatao kufasiriwa kama apendavyo mtu fulani.
Kwa kuwa yote yaliyotangulia kuandikwa yaliandikwa ili kutufundisha sisi; ili kwa saburi na faraja ya maandiko tupate kuwa na tumaini.
Warumi 15:4
Basi mambo hayo yaliwapata wao kwa jinsi ya mifano, yakaandikwa ili kutuonya sisi, tuliofikiliwa na miisho ya zamani.
1 Wakorintho 10:11
Comments
Post a Comment