KUHUSU ISHARA ZA WAKATI, KWA NINI KRISTO ALIWASHUTUMU WAYAHUDI?
Na asubuhi, mwasema, Leo kutakuwa na dhoruba; kwa maana mbingu ni nyekundu, tena kumetanda. Enyi wanafiki, mwajua kuutambua uso wa mbingu; lakini, je! Ishara za zamani hizi hamwezi kuzitambua?]
Mathayo 16:3
Ahimidiwe na atukuzwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo na Baba yetu.
Sababu waliweza kutambua hali itakavyokuwa kuutambua uso wa mbingu, na walikuwa wakimjaribu awaonyeshe ishara itokayo mbinguni. Na kilikuwa kizazi kibaya na cha zinaa kilichotaka ishara, na wala kisingepewa. Na ishara waliyopewa ni ya nabii Yona, ambavyo alikaa tumboni mwa nyangumi siku tatu, na ndivyo Mwana wa Adamu atakavyokaa siku tatu katika moyo wa nchi.
Enyi wanafiki, mwajua kuutambua uso wa nchi na mbingu; imekuwaje, basi, kuwa hamjui kutambua majira haya?
Na mbona ninyi wenyewe kwa nafsi zenu hamwamui yaliyo haki?
Luka 12:56-57
Comments
Post a Comment