WALIPOSIKIA KRISTO AKISEMA WAKATI UTAFIKA HEKALU LA YERUSALEMU LITAHARIBIWA KABISA, WANAFUNZI WALIMWULIZA NINI?
WALIPOSIKIA KRISTO AKISEMA WAKATI UTAFIKA HEKALU LA YERUSALEMU LITAHARIBIWA KABISA, WANAFUNZI WALIMWULIZA NINI?
Hata alipokuwa ameketi katika mlima wa Mizeituni, wanafunzi wake wakamwendea kwa faragha, wakisema, Tuambie, mambo hayo yatakuwa lini? Nayo ni nini dalili ya kuja kwako, na ya mwisho wa dunia?
Mathayo 24:3
Ahimidiwe na atukuzwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo na Baba yetu.
Baada ya Kristo kuwaambia wanafunzi hawatamuona tena tangu wakati huo, na kuwaambia halitasalia jiwe juu ya jiwe ambalo halitabomoshwa kwenye majengo ya hekalu la Yerusalemu, wanafunzi walitaka kujua ni lini mambo hayo yatakuwa, na dalili ya kuja kwake na ya mwisho wa dunia.
Haya mnayoyatazama, siku zitakuja ambapo halitasalia jiwe juu ya jiwe ambalo halitabomoshwa.
Wakamwuliza wakisema, Mwalimu, mambo hayo yatakuwa lini? Nayo ni nini ishara ya kuwa mambo hayo ya karibu kutukia?
Luka 21:6-7
Comments
Post a Comment