KWA NINI SHERIA YA MUNGU INAPASWA KUTII?
Kila atendaye dhambi, afanya uasi; kwa kuwa dhambi ni uasi.
1 Yohana 3:4
Ahimidiwe na atukuzwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo na Baba yetu.
Kama yeye alivyo mtakatifu, kila mwenye matumaini ya kufanana naye, katika yeye hujitakasa. Ni pendo la namna gani alilotupa Baba, kwamba tuitwe wana wa Mungu, na ndivyo tulivyo. Atendaye haki yuna haki, kama yeye alivyo na haki; atendaye dhambi ni wa Ibilisi, maana Ibilisi hutenda dhambi tangu mwanzo.
Kama mkijua ya kuwa yeye ni mwenye haki, jueni ya kuwa kila atendaye haki amezaliwa na yeye.
1 Yohana 2:29
Maana mtu awaye yote atakayeishika sheria yote, ila akajikwaa katika neno moja, amekosa juu ya yote. Kwa maana yeye aliyesema, Usizini, pia alisema, Usiue. Basi ijapokuwa hukuzini, lakini umeua, umekuwa mvunja sheria.
Yakobo 2:10-11
Comments
Post a Comment