JE, NI KWA KITENDO GANI NA NINI MTU ANAPATA KWA BWANA YESU?
Maana ninyi nyote mliobatizwa katika Kristo mmemvaa Kristo.
Wagalatia 3:27
Ahimidiwe na atukuzwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo na Baba yetu aliye mbinguni. Kwa kuwa ninyi nyote mmekuwa wana wa Mungu kwa njia ya imani katika Kristo Yesu. Hapana Myahudi wala Myunani. Hapana mtumwa wala huru. Hapana mtu mume wala mtu mke, ninyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu. Sisi sote tuliobatizwa katika Kristo Yesu tulibatizwa katika mauti yake na tulizikwa pamoja naye kwa njia ya ubatizo katika mauti yake ili kwa kufufuka kwake sisi tuenende katika upya wa milele.
Bali mvaeni Bwana Yesu Kristo, wala msiuangalie mwili, hata kuwasha tamaa zake.
Warumi 13:14
Comments
Post a Comment