AJAYE ANAKUJA, HATAKAWIA Basi msiutupe ujasiri wenu, kwa maana una thawabu kuu. Maana mnahitaji saburi, ili kwamba mkiisha kuyafanya mapenzi ya Mungu mpate ile ahadi. Kwa kuwa bado kitambo kidogo sana, Yeye ajaye atakuja, wala hatakawia. Lakini mwenye haki wangu ataishi kwa imani; Naye akisita-sita, roho yangu haina furaha naye. Waebrania 10:35-38 1. Mnahitaji saburi, msiutupe ujasiri wenu. 2. Ili mpate ile ahadi, mfanye mapenzi ya Mungu. 3. Bado kitambo kidogo atakuja, hatakawia. 4. Mwenye haki aishi kwa imani, hana furaha na anayesita-sita. Mbarikiwe sana.
KARIBU KWENYE BLOG YENYE TAFAKARI NA MASOMO YA NENO LA MUNGU. MJUE SANA MUNGU ILI UWE NA AMANI; NDIVYO MEMA YATAKAVYOJIA. NENO LAKE ULIWEKE MOYONI MWAKO.